Wa Kuabudiwa

by Christina Shusho

Wakuabudiwa, wakuheshimiwa ni wewe Mungu Wakupewa sifa, na utukufu, ni wewe Mungu Mungu mwenye nguvu, wastahili heshima zote Hakuna mwingine wa kulinganishwa na wewe Mungu Umesema wewe, jina lako liko liliko ni we Mungu Unafanya mambo yaliyo juu ya fahamu zetu Mungu Ukisema ndiyo, nani awezaye kupinga? Hakuna