Tenda

by Deborah Lukalu

Hakuna, hakuna, hakuna Mungu kama wewe Baba Hakuna mwingine kama wewe Baba Mungu ni chefu, wa mataifa yote Mungu ni chefu, wa mataifa yote Alitenda mambo makubwa wanadamu wakuelewe tenda Tenda, tenda, tenda Tenda eh Baba, Alitenda mambo makubwa wanadamu wakuelewe tenda Tenda, tenda, tenda Tenda eh Baba, Ni wa uwezo, ni wa ushindi Ni muweza wote kweli, Haleluya ni muumba wetu aaah, Kuimba tunaimba, ni kwa neema Watoto tunazala, ni mpaka kwa neema Ndoa tunapata, ni mpaka kwa neema Masomo tunaweza, ni mpaka kwa neema Wa milele wa milele, Mungu wa baraka ni Yesu we Ah ah ah, ni Yesu we Ah yo yo yo, ni Yesu we Ye le le ye le le le le le le