Tenda
by Deborah Lukalu
Hakuna, hakuna, hakuna Mungu kama wewe Baba
Hakuna mwingine kama wewe Baba
Mungu ni chefu, wa mataifa yote
Mungu ni chefu, wa mataifa yote
Alitenda mambo makubwa
wanadamu wakuelewe tenda
Tenda, tenda, tenda
Tenda eh Baba,
Alitenda mambo makubwa
wanadamu wakuelewe tenda
Tenda, tenda, tenda
Tenda eh Baba,
Ni wa uwezo, ni wa ushindi
Ni muweza wote kweli, Haleluya
ni muumba wetu aaah,
Kuimba tunaimba, ni kwa neema
Watoto tunazala, ni mpaka kwa neema
Ndoa tunapata, ni mpaka kwa neema
Masomo tunaweza, ni mpaka kwa neema
Wa milele wa milele,
Mungu wa baraka ni Yesu we
Ah ah ah, ni Yesu we
Ah yo yo yo, ni Yesu we
Ye le le ye le le le le le le