REJESHA
by NJOKI MUNYI
Ijapo safari iwe na ugumu
Utanishika mkono
Ijapo adui aje kwa vishindo
Bado Wewe uko na mimi
Ijapo safari iwe na huzuni
Utayapanguza machozi
Ijapo adui aje kwa vishindo
Bado Wewe uko nami
Utayarejesha maono yangu
Miaka yote iliyoliwa na nzige
Nimeona wema wako
Na nguvu zako maishani mwangu
Utayarejesha maono yangu
Miaka yote iliyoliwa na nzige
Nimeona wema wako
Na nguvu zako maishani mwangu
Ijapo safari iwe na ugumu
Utanishika mjkono
Ijapo adui aje kwa vishindo
Bado Wewe uko nami
Ijapo safari iwe na huzuni
Utayapanguza machozi
Ijapo adui aje kwa vishindo
Bado wewe uko nami
Utayarejesha maono yangu
Miaka yote iliyoliwa na nzige
Nimeona wema wako
Na nguvu zako maishani mwangu
Utayarejesha maono yangu
Miaka yote iliyoliwa na nzige
Nimeona wema wako
Na nguvu zako maishani mwangu
Utayarejesha maono yangu
Miaka yote iliyoliwa na nzige
Nimeona wema wako
Na nguvu zako maishani mwangu
Ijapo safari iwe na giza
Utaangaza njia yangu
Ijapo adui aje kwa vishindo
Bado wewe uko nami
Ijapo safari iwe na ukame
Wewe ni maji ya uzima
Ijapo adui aje kwa vishindo
Bado wewe uko nami
Utayarejesha maono yangu
Miaka yote iliyoliwa na nzige
Nimeona wema wako
Na nguvu zako maishani mwangu
Utayarejesha maono yangu
Miaka yote iliyoliwa na nzige
Nimeona wema wako
Na nguvu zako maishani mwangu
Akisema ndio hakuna wa kupinga
Nitasimama kwa agano Lake
Nimeona wema wako
Na nguvu zako maishani mwangu
Akifungua mlango hakuna atakaye funga
Amesema amesema, hakuna wa kupinga
Nimeona wema wako
Na nguvu zako maishani mwangu
Akikubariki hakuna wa kupinga
Simama leo kwa hilo neno
Nimeona wema wako
Na nguvu zako maishani mwangu
Akikuponya wewe umepona
Simama leo kwa ahadi zake
Nimeona wema wako
Na nguvu zako maishani mwangu
Umeyarejesha maono yangu
Miaka yote iliyoliwa na nzige
Nimeona wema wako
Na nguvu zako maishani mwangu
Umeyarejesha maono yangu
Miaka yote iliyoliwa na nzige
Nimeona wema wako
Na nguvu zako maishani mwangu
Umeyarejesha
(Umeyarejesha)
Maono yangu
(Umeyarejesha)
Umeyarejesha
(Umeyarejesha)
Na ndoto zangu
(Umezirejesha)
Umezirejesha
(Umezirejesha)
Na afya yangu
(Umeirejesha)
Umeirejesha
(Umeirejesha)
Familia yangu
(Umeirejesha)
Nimeona
Nimeona wema wako
Na nguvu zako maishani mwangu
Umeyarejesha
(Umeyarejesha)
Familia yangu
(Umeirejesha)
Umeirejesha
(Umeirejesha)
Na ndoto zangu
(Umezirejesha)
Umezirejesha
(Umezirejesha)
Na afya yangu
(Umeirejesha)
Umeirejesha
(Umeirejesha)
Na ndoto zangu
(Umezirejesha)
Umezirejesha
(Umezirejesha)
Furaha yangu
(Umeirejesha)
Umeirejesha
(Umeirejesha)
Na mali yangu
(Umeirejesha)
Umeirejesha
(Umeirejesha)
Watoto wangu
(Umewarejesha)
Umewarejesha
(Umewarejesha)
Umewarejesha
(Umewarejesha)
Nimeona wema wako
Na nguvu zako maishani mwangu
Nimeona wema wako
Na nguvu zako maishani mwangu
Nimeona wema wako
Na nguvu zako maishani mwangu
Nimeona wema wako
Na nguvu zako maishani mwangu
Umeyarejesha maono yangu
Miaka yote iliyoliwa na nzige
Nimeona wema wako
Na nguvu zako maishani mwangu
Umeyarejesha maono yangu
Miaka yote iliyoliwa na nzige
Nimeona wema wako
Na nguvu zako maishani mwangu
Nimeona wema wako
Na nguvu zako maishani mwangu
Nimeona wema wako
Na nguvu zako maishani mwangu