NIKUREJESHEE
by ....
Nasikia kuitwa na sauti yake
Anasema njoo kwangu nikurejeshee
Yaliyoibiwa, yaliyochukuliwa na mwovu
Anasema njoo kwangu nikurejeshee
Nasikia kuitwa na sauti yake
Anasema njoo kwangu nikurejeshee
Yaliyoibiwa, yaliyochukuliwa na mwovu
Anasema njoo kwangu nikurejeshee
Nasikia kuitwa na sauti yake
Anasema njoo kwangu nikurejeshee
Yaliyoibiwa, yaliyochukuliwa na mwovu
Anasema njoo kwangu nikurejeshee
Nasikia kuitwa na sauti yake
Anasema njoo kwangu nikurejeshee
Yaliyoibiwa, yaliyochukuliwa na mwovu
Anasema njoo kwangu nikurejeshee
CHORUS
nikurejeshee
Nikurejeshee
Anasema njoo kwangu nikurejeshee
Amani ya moyo iliyotoweka
Usiitafute kwengine
Kwake yesu utaipata
Furaha ya kweli iliyotoweka
Usiitafute kwengine
Kwake yesu utaipata
Amani ya moyo iliyotoweka
Usiitafute kwengine
Kwake yesu utaipata
Furaha ya kweli iliyotoweka
Usiitafute kwengine
Kwake yesu utaipata
Ndipo hayo mema yatakujilia
Atarejesha vyote adui alivyochukuaaa
Ndipo hayo mema yatakujilia
Atarejesha amani ya moyo na furaha iliopotea
nikurejeshee
Nikurejeshee
Anasema njoo kwangu nikurejeshee
kibali kwenye Huduma yangu
Amani kwenye familia yako
Anasema njoo kwangu nikurejeshee..
nikurejeshee
nikurejeshee
Nikurejeshee
Anasema njoo kwangu nikurejeshee