KATIKATI YA MIUNGU
by Ephraim Ezekiel
Katikati ya Miungu hakuna Mungu kama wewe (Mungu kama wewe)
Katikati ya Miungu hakuna Mungu kama wewe (Mungu kama wewe)
Mungu kama wewe, Mungu kama wewe
Baba (Baba aah), Baba (Baba aah)
Yesu (Yesu uuu), Yesu (Yesu uuu)
Katika ya mataifa yote sijaona Mungu kama wewe