Bwana U sehemu Yangu

by ,,

Bwana u sehemu yangu Rafiki yangu Wewe, Katika safari Yangu; Tatembea na Wewe Pamoja na wewe Katika safari yangu, Tatembea na wewe. Mali hapa sikutaka; Ili Niheshimiwe; Na yanikute mashaka, Sawasawa na wewe Niongoze safarini, Mbele Unichukue; Mlangoni Mwa mbinguni, Niingie na Wewe.